Jumla ya Mara Iliyotazamwa

20 Sep 2014

PETIT MAN SASA NI SHEMEJI RASMI WA DIAMOND, AFUNGA NDOA NA DADA YAKE DIAMOND AITWAYE ESMA


 Ni habari mpya ya mjini kwa sasa,ndoa ya Dada wa Diamond na kipenzi wa Wema petiti man wakuache ,amabapo uhusiano wao ulioanza kama utani hatimae  umezalisha kile ambacho wengi hawakukitgemea kama kingekuwa mapema hivi...Tunawatakia maisha mema ya ndoa na baraka tele

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni