Jumla ya Mara Iliyotazamwa

20 Sep 2014

Rais Museveni amfuta kazi Waziri mkuu



Waziri Mkuu aliyeteuliwa DK Ruhakana Rugunda (kushoto) ambaye amebadili nafasi Amama mbabazi (Kulia).


Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemfuta kazi waziri mkuu, Amama mbabazi na kumteua Dk Ruhakana Rugunda kushika wadhifa huo .

Taarifa elekezi ya Rais Museven kwenda kwa spika wa  Bunge Rebecca Kadaga, kwa njia ya barua imeeleza nia ya mabadiliko hayo na kuambatanisha pia uteuzi wa Dk Rugunda

Rais Museven amemshukuru Mbabazi kwa  mchango wake kwa nchi ya Uganda tangu mwaka 2011 akieleza kuwa ujuzi na uongozi bora aliokuwa nao utaendelea kuigwa na kuwa chachu ya uongozi bora kwa manufaa ya watu wa Uganda

Bwana Mbabazi alikuwa anatarajiwa na wengi kuwa mpinzani wa Museveni katika uchaguzi ujao.
Waziri mkuu anayeondoka Amama Mbabazi alionekana kuwa angemrithi rais Museveni lakini miaka mitatu ambayo amehudumu katika wadhifa huo uhusiana kati yake na Museveni haujakuwa mzuri.

Mapema mwaka huu chama kinachotawala kiliidhinisha azimio kikisema kuwa rais Museveni ambaye amekuwa kiongozi kwa muda wa miaka 28 atakuwa mgombea wake wa pekee kwenye uchaguzi wa mwaka 2016.

Hata hivyo mkewe Mbabazi ambaye pia ni afisa wa cheo cha juu chamani amesema kuwa mmewe ameonewa.

Waziri mkuu mpya ambaye ni mtaalamu wa masuala ya afya awali alikuwa amehudumu kama waziri wa afya.

chanzo; mwananchi

ALIKIBA AFUNGUKA KUHUSU IDADI YA WATOTO ALIONAO NA MAISHA YAO



Mmoja kati ya watoto wa Alikiba!Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema kuwa ana watoto watatu na kila mmoja ana mama yake.


Msanii anayetamba na nyimbo ya Mwana, Alikiba!
Akizungumza na jarida moja la burudani kiba aliyetoa nyimbo mbili mpya hivi karibuni alisema kuwa kati ya watoto hao mmoja anaishi nae, wa pili yupo Dar es salaam na mama yake na wa tatu anaishi Uingereza na mama yake.

SERENGETI FIESTA IRINGA JANA USIKU NI SHANGWE ZA KUTOSHA



Wakazi wa Iringa usiku wa September 19 walipata burudani ya shangwe za Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika katika viwanja vya Samora mjini humo. Jionee picha za show hiyoMadee aka Rais wa Manzeshe akitumbuiza



Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakiimbia kwa hisia hit yao ‘Me and You’



Mshindi wa super diva mkoani Iringa ambaye ni mlemavu wa macho


Makomando wakipiga salute



Linah akijiachia jukwaani


Juma Nature aka Kibra


Backstage: Linah, Juma Nature, Vanessa Mdee na Adam Mchomvu





Backstage: Linah na Edo Boy


Ommy Dimpoz, B12, Linah na wasanii wengine wakiwa jukwaani


Juma Nature na wasanii wenzake wa TMK Halisi wakifanya mambo


Mzee wa Hisia: Afande Sele akitumbuiza


Afande akiimba kwa hisia kali


Baba Levo


Peter Msechu




Godzilla aka Zizi


Adam Mchomvu na Godzilla


Me and You: Vanessa na Ommy Dimpoz


Ommy Dimpoz


Dogo Janja


Madee na vijana wa Tiptop Connection


Madee



Linah na dancers wake


Young Killer na hype man wake


Kabayser


Vanessa Mdee akiwa na dancers wake










Wasanii wote walipanda jukwaani kuonesha upendo wakati Juma Nature alipokuwa akifunga show


B12




Nickson George



Mo Music


Barakah Da Prince


















PETIT MAN SASA NI SHEMEJI RASMI WA DIAMOND, AFUNGA NDOA NA DADA YAKE DIAMOND AITWAYE ESMA


 Ni habari mpya ya mjini kwa sasa,ndoa ya Dada wa Diamond na kipenzi wa Wema petiti man wakuache ,amabapo uhusiano wao ulioanza kama utani hatimae  umezalisha kile ambacho wengi hawakukitgemea kama kingekuwa mapema hivi...Tunawatakia maisha mema ya ndoa na baraka tele