Jumla ya Mara Iliyotazamwa

6 Okt 2014

DIAMOND AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU BIG BROTHER HOTSHOTS


Diamond Platnumz akifanya makamuzi ndani ya Big Brother Hotshots. 

STAA wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku huu amefanya makamuzi ya nguvu katika uzinduzi wa shindano la Big Brother Hotshots unaofanyika jijini Johanessburg nchini Afrika Kusini. 

Katika shindano hilo, Tanzania inawakilishwa na watu wawili mrembo Irene 'La Veda' na Idriss. Jumla ya washiriki 26 kutoka mataifa 12 ya Afrika watachuana kwa siku 63 kutafuta mshindi atakayejinyakulia kitita cha dola za Kimarekani 300,000.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni