Jumla ya Mara Iliyotazamwa

4 Jul 2015

manchester city kuwasha moto sokoni pogba na kevin debruyen hudama yao yaitajika


Image result for fabian delphImage result for pogbaImage result for kevin de bruyne            Na Ibrahim kasuga

Man city baada ya kuwashiwa taa ya kijani na UEFA baada ya adhabu yao ya financea fair play kuisha wamewatajaa wachezaji wao wanao wahitaji kwa udi na uvumba kevin de bruyne, raheem sterling na paul pogba hayoo ni majina yanayo husishwa huenda yakaonekana pale Etihad stadium msimu ujao. wakit huohuo kiungo wa timu ya taifa ya uingereza na klabu ya astoni villa Fabian Delph huenda akawa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na man city katika dilisha hili la usajili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni