Jumla ya Mara Iliyotazamwa

25 Ago 2014

NDOA YA SAUDA MWILIMA SHEEEEEEEEEEEDA!!! KILA MMOJA KIVYAKE! iko hapa..


Sauda Mwilima akivishwa pete na mume wake, Kauli Juma. 
Sauda anasema:
“Ndoa yangu haijavunjika, tuko vizuri na mume wangu japokuwa tuko mbali lakini kila mmoja anamwamini mwenzake,” alisema Sauda.
Wadau wanaifananisha ndoa hiyo na ya Aunt Ezekiel na kudai kuwa wawili hao hawachekani.
 Oooh nooo! Miaka miwili baada ya kufunga pingu za maisha (ndoa) na mwanaume aitwaye Kauli Juma, imefichuka kwamba ndoa ya prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ina shida kwani haishi na mumewe, ikidaiwa kwamba kila mmoja anaishi nchi tofauti na mwenzake. 
Chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Sauda, kilisema kwamba baada ya wawili hao kufunga ndoa, Kauli aliondoka kwenda nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ alikokuwa akifanya shughuli zake kabla ya kufunga ndoa na hadileo hajawahi kurudi Tanzania!!
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni