Jumla ya Mara Iliyotazamwa

25 Ago 2014

Picha zilizosambaa za ndoa ya Jaguar na majibu yake kuhusu picha hizo hizo hapa.




 Jaguar aliandikwa na vyombo kadhaa vya habari Kenya kwamba amekwenda kufunga ndoa ya Mwanamke wa maisha yake nchini Afrika Kusini ambapo picha zilianza kusambaa toka wiki iliyopita.


kwenye exclusive na millardayo.com Jaguar amesema ni kweli wengi walidhani ni ndoa amekwenda kufunga ila ukweli ni kwamba hiyo ni video yake mpya ambayo inatoka Jumatatu ya leo August 25 2014. 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni