Jumla ya Mara Iliyotazamwa

25 Ago 2014

WALICHOKIFANYA JAYZ NA BEYONCE KUDHIHIRISHA KUWA NDOA YAO HAIVUNJIKI, JANA KWENYE TUZO ZA MTV VIDEO JAZAMA.

Beyonce, Jay Z na binti yao Blue Ivy au waite The Carters, Jumapili (Agosti 24) kwenye tuzo za MTV VMA wameendelea kuthibitisha kuwa ni ‘happy family’ licha ya ripoti mbalimbali ambazo zimeendelea kutolewa kuhusu matatizo ya ndoa yao.

Jay, Bey
Beyonce alishinda tuzo ya ‘Michael Jackson Video Vanguard Award’ kwenye tuzo za MTV VMA 2014.
bey4
Lakini kubwa zaidi ni pale ambapo familia yake Jay Z na binti yao Blue Ivy waliopanda jukwaani na kumkabidhi (mke/mama) tuzo hiyo, kisha baba na mama wakapeana busu jukwaani. Queen Bey aliipokea tuzo hiyo akitoa machozi.
Beyonce, Jay Z, Blue Ivy
Beyoncé, Blue Ivy, Jay-Z
Beyoncé

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni