Jumla ya Mara Iliyotazamwa

18 Ago 2014

Rais Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne

student_be282.jpg
Rais Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha 4, Neema Mtwanga mwenye umri wa miaka 16 wa shule ya Sekondari Naboti iliyopo mkoani Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa Insha katika shindano lililoandaliwa na SADC.
kama umefurahishwa na ushindi wa binti huyu, tupia 'HONGERA' yako hapa tumpongeze.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni