Jumla ya Mara Iliyotazamwa

21 Ago 2014

UVCCM MKOA WA IRINGA KUMSIMIKA KAMANDA WAKE MH. SALIM ASAS 23/08/2014

Maandalizi ya shuhuli ya kumuapisha KAMANDA wa UVCCM MKOA WA IRINGA MH SALIM F. ABRI (ASAS) yamekamilika na wageni nyote mnatakiwa kufika IRINGA siku ya kesho ijumaa 22/08/2014. Ulizi WA uhakika na Amani ya kutosha ipo.

Maandalizi yote hayo ni chini ya KAMANDA bora SALIM F. ABRI (ASAS)

Tunawatakia safari njema ya ujio wa IRINGA karibuni sana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni