Jumla ya Mara Iliyotazamwa

19 Ago 2014

WENYE ROHO NGUMU TU UNAPOFUATILIA MAZOEZI MAKALI YA WAREMBO HAWA!

Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la pamoja ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam Agosti 22, 2014. Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo 
Warembo hao wakitembea kwa mwendo wa madaha.
Wakiwa wamepozi wenyewe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni