Jumla ya Mara Iliyotazamwa

17 Ago 2014

VIJANA WAKITANZANIA TUTAENDELEA KUWA MASIKINI KUTOKANA NA KUENDEKEZA UJINGA KAMA HUU




Baadhi  ya  vijana  wakitanzania    tumekuwa  tunaendekeza  ujinga   kupita   maelezo   kwasababu  tunatumia  muda   wetu   kwa   mambo   yasiyo  kuwa   na   tija  yoyote   katika   maisha  yetu  ,  mfano  huyu  mtu  aliyetengeneza  picha   hii    na  kuisambaza  kwenye  mitandao  ya  kijamii  amepata   faida  GANI ??  Alafu  mpuuzi  kama  huyu  utamkuta  analalamika  anasema  maisha  magumu  na   kweli  lazima  maisha  yawe  magumu    kama  akili  yako    inawaza    ujinga  kama  huu    kwasababu  kwa   mtindo  huu  uwezi  kuendelea   kamwe,,,,,
    vijana  wa  kitanzania   umefika    wakati  wa   kubadilika   sasa......huyu   Diamond  anaingiza   pesa   nyingi   kwa   kazi  yake  ya  mziki  sasa  wewe  uliyetengeneza    hii  picha   umeingiza  bei   gan??..

ujumbe  huu  umeandikwa  na    RESPICIUS    FRANCIS

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni